Ticker

6/recent/ticker-posts

YANGA KUSAJILI NYOTA WATANO WA KIMATAIFA KWAJILI YA MSIMU UJAO

Kwa maombi ya kazi, Bofya hapa



KLABU ya Yanga inatarajia kusajili nyota watano wa kimataifa kwajili ya msimu ujao.

Katika jitihada za kuimalisha kikosi chao yanga wamesha kamilisha baadhi ya sajili za kimataifa tayari kwa maandalizi ya msimu ujao wa klabu bingwa barani afrika.

Yanga mbaka sasa wamekamilisha sajili za wachezaji wawili kati ya watano na wachezaji hao ni, Lazarous Kambole raia wa zambia aliyekuwa anachezea kizer chief ya Afrika kusini na Benard Morrison aliyekuwa Simba, Ambao bado kutangazwa ni pamoja na joyce lomarisa, Aziz Ki na Gael Bigirimana.

✅ Lazarous Kambole 🇿🇲 ✅ Bernard Morrison 🇬🇭 ⌛ Joyce Lomarisa 🇨🇩 ⌛ Aziz Ki 🇧🇫 ⌛Gael Bigirimana 🇧🇮



Aziz Ki 

Lazarous Kambole


Gael Bigirimana

Bernard Morrison

Joyce Lomarisa


Post a Comment

0 Comments