Kwa maombi ya kazi, Bofya hapa
DROO ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la CAF imepangwa mchana wa jana na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga ni miongoni mwa timu 16 zinazoshiriki hatua hiyo ikiwa imepangwa kwenye Kundi D pamoja na TP Mazembe, US Monastir, na Real Bamako
Na Hii ndio ratiba kamili ya hatua ya Makundi ya kombe hilo:
MECHI YA KWANZA: 12 Februari 2023
US Monastir v Young Africans
MECHI YA PILI: 19 Februari 2023
Young Africans v TP Mazembe
MECHI YA TATU: 26 Februari 2023
Real Bamako v Young Africans
MECHI YA NNE: 08 MACHI 2023
Young Africans v Real Bamako
MECHI YA TANO: 19 MACHI 2023
Young Africans v US Monastir
MECHI YA SITA: 2 APRILI 2023
TP Mazembe v Young Africans
0 Comments