Kwa maombi ya kazi, Bofya hapa
Magoli ya Djuma Shabani, Fiston Mayele na Aziz Ki yanaipa yanga uongozi katika NBCPL baada ya hii leo kufanikiwa kuifunga mtibwa sugar goli 3-0.
Mapumziko dk 45 za kipindi cha kwanza zilimalizika kwa yanga kuwa mbele kwa mabao 2-0 dhidi ya mtibwa sugar kabla ya Aziz Ki kuhitimisha kwa kufunga goli la tatu dk ya 91 ya mchezo.
Magali ya yanga yamefungwa na....
Goooal…!!! Ni ‘free-kick’ ya Djuma Shaban dakika ya 33.
Goooal…!!! Fiston Mayele dakika ya 38
Goooal…!!! Aziz Ki dakika ya 90+1
Kikosi Cha YANGA kilichoanza dhidi ya Mtibwa Sugar
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko
TAZAMA MAGOLI YOTE YA YANGA DHIDI YA MTIBWA
0 Comments