Ticker

6/recent/ticker-posts

Simba yalamba bilioni 26 za M-Bet

Kwa maombi ya kazi, Bofya hapa

Klabu ya Simba imejikusanyia jumla ya sh bilion 26 kutoka kwa mdhamini wao wa sasa kampuni ya  M-Bet inayo simamia michezo ya bahati nasibu.

"M-Bet ni kampuni namba moja ya michezo ya kubashiriki sasa tunashirikiana na klabu namba moja Tanzania."- Mkurugenzi wa Masoko wa M-Bet, Allen Mushi.




  • Mwaka wa kwanza - Bil 4.670
  • Mwaka wa pili - Bil 4.925
  • Mwaka wa tatu - Bil 5.205
  • Mwaka wa nne - Bil 5.514
  • Mwaka wa tano - Bil 5.853


Jumla ni Bilioni 26, milioni 168 na Tsh. 5,000."- Mkurugenzi wa Masoko wa M-Bet, Allen Mushi.

Post a Comment

0 Comments