Kwa maombi ya kazi, Bofya hapa
Ripoti zinadai kuwa kiungo huyo Mholanzi ana nia ya kubaki Barcelona na hataki uhamisho wa kwenda Old Trafford.
Chelsea pia wanavutiwa naye lakini nyota huyo wa zamani wa Ajax anasita kuhamia klabu hiyo ya London, angependelea kuendelea na soka lake Camp Nou.
0 Comments