Kwa maombi ya kazi, Bofya hapa
Gazeti la Daily Mail limeripoti kuwa kocha Thomas Tuchel anasita kumsajili Cristiano Ronaldo licha ya Chelsea kuhusishwa pakubwa na nyota huyo wa Manchester United.
Nyota huyo wa Ureno anashinikiza kuondoka Old Trafford na anataka kujiunga na timu nyingine itakayo kuwa inashiriki ligi ya mabigwa ulaya, lakini kocha huyo wa chelsea hajashawishika na fowadi huyo mwenye umri wa miaka 37.
0 Comments